Yeremia 39:14
Yeremia 39:14 Biblia Habari Njema (BHN)
Wakamkabidhi Yeremia kwa Gedalia mwana wa Ahikamu, mjukuu wa Shafani, amchukue nyumbani kwake. Basi, Yeremia akaishi pamoja na wananchi wengine.
Shirikisha
Soma Yeremia 39Yeremia 39:14 Biblia Habari Njema (BHN)
Wakamkabidhi Yeremia kwa Gedalia mwana wa Ahikamu, mjukuu wa Shafani, amchukue nyumbani kwake. Basi, Yeremia akaishi pamoja na wananchi wengine.
Shirikisha
Soma Yeremia 39Yeremia 39:14 Swahili Revised Union Version (SRUV)
wakatuma watu wakamwondoa Yeremia katika uwanda wa walinzi, wakamweka katika mikono ya Gedalia, mwana wa Ahikamu, mwana wa Shafani, ili ampeleke nyumbani kwake; basi akakaa pamoja na hao watu.
Shirikisha
Soma Yeremia 39