Yeremia 32:15
Yeremia 32:15 Biblia Habari Njema (BHN)
Maana Mwenyezi-Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi: “Nyumba na mashamba, pamoja na mashamba ya mizabibu katika nchi hii yatanunuliwa tena.”
Shirikisha
Soma Yeremia 32Yeremia 32:15 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Maana BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Nyumba na mashamba na mashamba ya mizabibu yatanunuliwa tena katika nchi hii.
Shirikisha
Soma Yeremia 32