Yeremia 1:8 - Compare All Versions
Yeremia 1:8 BHN (Biblia Habari Njema)
Wewe usiwaogope watu hao, kwa maana niko pamoja nawe kukulinda. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”
Shirikisha
Yeremia 1 BHNYeremia 1:8 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Usiogope kwa sababu ya hao maana mimi nipo pamoja nawe nikuokoe, asema BWANA.
Shirikisha
Yeremia 1 SRUVYeremia 1:8 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Usiogope kwa sababu ya hao maana mimi nipo pamoja nawe nikuokoe, asema BWANA.
Shirikisha
Yeremia 1 SUVYeremia 1:8 NEN (Neno)
Usiwaogope, kwa maana niko pamoja nawe nikuokoe,” asema BWANA.
Shirikisha
Yeremia 1 NEN