Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 1:8 - Compare All Versions

Yeremia 1:8 BHN (Biblia Habari Njema)

Wewe usiwaogope watu hao, kwa maana niko pamoja nawe kukulinda. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Shirikisha
Yeremia 1 BHN

Yeremia 1:8 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Usiogope kwa sababu ya hao maana mimi nipo pamoja nawe nikuokoe, asema BWANA.

Shirikisha
Yeremia 1 SRUV

Yeremia 1:8 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Usiogope kwa sababu ya hao maana mimi nipo pamoja nawe nikuokoe, asema BWANA.

Shirikisha
Yeremia 1 SUV

Yeremia 1:8 NEN (Neno)

Usiwaogope, kwa maana niko pamoja nawe nikuokoe,” asema BWANA.

Shirikisha
Yeremia 1 NEN