Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 1:19 - Compare All Versions

Yeremia 1:19 BHN (Biblia Habari Njema)

Watapigana nawe, lakini hawatashinda kwa sababu mimi niko pamoja nawe kukuokoa. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Shirikisha
Yeremia 1 BHN

Yeremia 1:19 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Nao watapigana nawe; lakini hawatakushinda; maana mimi nipo pamoja nawe, asema BWANA, ili nikuokoe.

Shirikisha
Yeremia 1 SRUV

Yeremia 1:19 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Nao watapigana nawe; lakini hawatakushinda; maana mimi nipo pamoja nawe, asema BWANA, ili nikuokoe.

Shirikisha
Yeremia 1 SUV

Yeremia 1:19 NEN (Neno)

Watapigana nawe lakini hawatakushinda, kwa kuwa niko pamoja nawe, nami nitakuokoa,” asema BWANA.

Shirikisha
Yeremia 1 NEN