Yeremia 1:19
Yeremia 1:19 Biblia Habari Njema (BHN)
Watapigana nawe, lakini hawatashinda kwa sababu mimi niko pamoja nawe kukuokoa. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”
Shirikisha
Soma Yeremia 1Yeremia 1:19 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nao watapigana nawe; lakini hawatakushinda; maana mimi nipo pamoja nawe, asema BWANA, ili nikuokoe.
Shirikisha
Soma Yeremia 1