Yakobo 5:11
Yakobo 5:11 Biblia Habari Njema (BHN)
Tunawaita hao wenye heri kwa sababu walivumilia. Mmesikia habari za uvumilivu wa Yobu, na mnajua jinsi Bwana alivyomtendea mwishoni. Maana Bwana amejaa huruma na rehema.
Shirikisha
Soma Yakobo 5Yakobo 5:11 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Angalieni, twawaita heri wao waliostahimili. Mmesikia habari za kustahimili kwake Ayubu, kuona mwisho Bwana aliyomtendea, jinsi Bwana alivyo mwingi wa rehema na mwenye huruma.
Shirikisha
Soma Yakobo 5