Yakobo 3:2
Yakobo 3:2 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini kama mtu hakosi katika usemi wake, basi, huyo ni mkamilifu, na anaweza kutawala nafsi yake yote.
Shirikisha
Soma Yakobo 3Yakobo 3:2 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Maana twajikwaa sisi sote pia katika mambo mengi. Mtu asiyejikwaa katika kunena, huyo ni mtu mkamilifu, awezaye kuuzuia na mwili wake wote kama kwa lijamu.
Shirikisha
Soma Yakobo 3