Yakobo 2:6
Yakobo 2:6 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini nyinyi mnawadharau watu maskini! Je, matajiri si ndio wanaowakandamiza na kuwapeleka mahakamani?
Shirikisha
Soma Yakobo 2Yakobo 2:6 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Bali ninyi mmemvunjia heshima maskini. Je! Matajiri hawawaonei ninyi na kuwavuta mbele ya viti vya hukumu?
Shirikisha
Soma Yakobo 2