Yakobo 2:25 - Compare All Versions
Yakobo 2:25 BHN (Biblia Habari Njema)
Ilikuwa vivyo hivyo kuhusu yule malaya Rahabu; yeye alikubaliwa kuwa mwadilifu kwa sababu aliwapokea wale wapelelezi na kuwasaidia waende zao kwa kupitia njia nyingine.
Shirikisha
Yakobo 2 BHNYakobo 2:25 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Vivyo hivyo na Rahabu, yule kahaba naye, je! Hakuhesabiwa kuwa ana haki kwa matendo, hapo alipowakaribisha wajumbe, akawatoa nje kwa njia nyingine?
Shirikisha
Yakobo 2 SRUVYakobo 2:25 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Vivyo hivyo na Rahabu, yule kahaba naye, je! Hakuhesabiwa kuwa ana haki kwa matendo, hapo alipowakaribisha wajumbe, akawatoa nje kwa njia nyingine?
Shirikisha
Yakobo 2 SUVYakobo 2:25 NEN (Neno)
Vivyo hivyo, hata Rahabu, yule kahaba: je, hakuhesabiwa haki kwa yale aliyotenda alipowapokea wale wapelelezi na kuwaambia waende njia nyingine?
Shirikisha
Yakobo 2 NEN