Yakobo 2:23
Yakobo 2:23 Biblia Habari Njema (BHN)
Hivyo yakatimia yale Maandiko Matakatifu yasemayo: “Abrahamu alimwamini Mungu, na kwa imani yake akakubaliwa kuwa mtu mwadilifu; na hivyo Abrahamu akaitwa rafiki ya Mungu.”
Shirikisha
Soma Yakobo 2Yakobo 2:23 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Maandiko yale yakatimizwa yaliyonena, Abrahamu alimwamini Mungu, ikahesabiwa kwake kuwa ni haki; naye aliitwa rafiki wa Mungu.
Shirikisha
Soma Yakobo 2