Yakobo 2:16
Yakobo 2:16 Biblia Habari Njema (BHN)
Yafaa kitu gani nyinyi kuwaambia hao: “Nendeni salama mkaote moto na kushiba,” bila kuwapatia mahitaji yao ya maisha?
Shirikisha
Soma Yakobo 2Yakobo 2:16 Swahili Revised Union Version (SRUV)
na mmoja wenu akawaambia, Nendeni zenu kwa amani, mkaote moto na kushiba, lakini asiwape mahitaji ya kimwili, yafaa nini?
Shirikisha
Soma Yakobo 2