Yakobo 1:8
Yakobo 1:7-8 Biblia Habari Njema (BHN)
Kwa hiyo mtu aliye na mashaka, mwenye nia mbili na asiye na msimamo katika mwenendo wake wote, asidhani ya kwamba atapata chochote kile kutoka kwa Bwana.
Shirikisha
Soma Yakobo 1Yakobo 1:8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Mtu wa nia mbili husitasita katika njia zake zote.
Shirikisha
Soma Yakobo 1