Yakobo 1:7
Yakobo 1:7-8 Biblia Habari Njema (BHN)
Kwa hiyo mtu aliye na mashaka, mwenye nia mbili na asiye na msimamo katika mwenendo wake wote, asidhani ya kwamba atapata chochote kile kutoka kwa Bwana.
Shirikisha
Soma Yakobo 1Yakobo 1:7 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Maana mtu kama yule asidhani ya kuwa atapokea kitu kwa Bwana.
Shirikisha
Soma Yakobo 1