Yakobo 1:6
Yakobo 1:6 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini anapaswa kuomba kwa imani bila mashaka yoyote. Mtu aliye na mashaka ni kama mawimbi ya bahari ambayo husukumwa na kutupwatupwa na upepo.
Shirikisha
Soma Yakobo 1Yakobo 1:6 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ila na aombe kwa imani, pasipo mashaka yoyote; maana mwenye shaka ni kama wimbi la bahari linalochukuliwa na upepo, na kupeperushwa huku na huku.
Shirikisha
Soma Yakobo 1