Yakobo 1:17
Yakobo 1:17 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Kila kitolewacho kilicho chema na kilicho kamili, hutoka juu, na hushuka kutoka kwa Baba wa mianga, ambaye kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeukageuka.
Shirikisha
Soma Yakobo 1Yakobo 1:17 Biblia Habari Njema (BHN)
Kila kipaji chema na kila zawadi kamilifu hutoka mbinguni; hutoka kwa Baba, Muumba wa mianga, ambaye habadiliki wala hana alama yoyote ya ugeugeu.
Shirikisha
Soma Yakobo 1Yakobo 1:17 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kila kutoa kuliko kwema, na kila kitolewacho kilicho kamili, hutoka juu, hushuka kwa Baba wa mianga; kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeukageuka.
Shirikisha
Soma Yakobo 1