Yakobo 1:11
Yakobo 1:11 Biblia Habari Njema (BHN)
Jua huchomoza na kwa joto lake kali hukausha mimea, nayo maua yake huanguka, na uzuri wake wote huharibika. Vivyo hivyo, tajiri ataangamizwa katika shughuli zake.
Shirikisha
Soma Yakobo 1Yakobo 1:11 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Maana jua huchomoza kwa joto kali, huyakausha majani; ua lake huanguka, uzuri wa umbo lake hupotea; vivyo hivyo naye tajiri atanyauka katika njia zake.
Shirikisha
Soma Yakobo 1