Isaya 58:6
Isaya 58:6 Biblia Habari Njema (BHN)
“La! Mfungo ninaotaka mimi ni huu: Kuwafungulia waliofungwa bila haki, kuziondoa kamba za utumwa, kuwaachia huru wanaokandamizwa, na kuvunjilia mbali udhalimu wote!
Shirikisha
Soma Isaya 58Isaya 58:6 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Je! Saumu niliyoichagua, siyo ya namna hii? Kufungua vifungo vya uovu, kuzilegeza kamba za nira, kuwaacha huru walioonewa, na kwamba mvunje kila nira?
Shirikisha
Soma Isaya 58