Isaya 58:6 - Linganisha Matoleo Yote
Isaya 58:6 BHN (Biblia Habari Njema)
“La! Mfungo ninaotaka mimi ni huu: Kuwafungulia waliofungwa bila haki, kuziondoa kamba za utumwa, kuwaachia huru wanaokandamizwa, na kuvunjilia mbali udhalimu wote!
Shirikisha
Isaya 58 BHNIsaya 58:6 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Je! Saumu niliyoichagua, siyo ya namna hii? Kufungua vifungo vya uovu, kuzilegeza kamba za nira, kuwaacha huru walioonewa, na kwamba mvunje kila nira?
Shirikisha
Isaya 58 SUVIsaya 58:6 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Je! Saumu niliyoichagua, siyo ya namna hii? Kufungua vifungo vya uovu, kuzilegeza kamba za nira, kuwaacha huru walioonewa, na kwamba mvunje kila nira?
Shirikisha
Isaya 58 SRUVIsaya 58:6 NEN (Neno)
“Je, hii si ndiyo aina ya mfungo niliyoichagua: kufungua minyororo ya udhalimu, na kufungua kamba za nira, kuwaweka huru waliodhulumiwa, na kuvunja kila nira?
Shirikisha
Isaya 58 NEN