Isaya 18:4
Isaya 18:4 Biblia Habari Njema (BHN)
Maana, Mwenyezi-Mungu ameniambia hivi: “Toka makao yangu juu nitatazama yanayotukia, nimetulia kama joto katika mwanga wa jua, kama wingu la umande wakati wa mavuno.
Shirikisha
Soma Isaya 18Isaya 18:4 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Maana BWANA ameniambia hivi, Mimi nitatulia, na kuangalia katika makazi yangu, kama wakati wa mwangaza mweupe wa jua kali, mfano wa wingu la umande katika joto la mavuno.
Shirikisha
Soma Isaya 18