Waebrania 3:6
Waebrania 3:6 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini Kristo ni mwaminifu kama Mwana mwenye mamlaka juu ya nyumba ya Mungu. Sisi wenyewe ni nyumba yake kama tukiendelea kuwa hodari na thabiti katika kile tunachotumainia.
Shirikisha
Soma Waebrania 3Waebrania 3:6 Swahili Revised Union Version (SRUV)
bali Kristo, kama mwana, juu ya nyumba ya Mungu; ambaye nyumba yake ni sisi, kama tukishikamana sana na ujasiri wetu na fahari ya tumaini letu mpaka mwisho.
Shirikisha
Soma Waebrania 3