Waebrania 2:5-6
Waebrania 2:5-6 Biblia Habari Njema (BHN)
Mungu hakuwaweka malaika wautawale ulimwengu ujao, yaani ulimwengu ule tunaoongea habari zake. Tena yasemwa mahali fulani katika Maandiko: “Mtu ni nini, hata umfikirie; mwanadamu ni nini hata umjali?
Shirikisha
Soma Waebrania 2Waebrania 2:5-6 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Maana hakuuweka chini ya malaika ulimwengu ule ujao tunaounena, ila mtu mmoja ameshuhudia hivi mahali fulani, akisema, Mwanadamu ni nini hata umkumbuke, Ama mwana wa binadamu, hata umwangalie?
Shirikisha
Soma Waebrania 2