Waebrania 2:1-2
Waebrania 2:1-2 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Kwa hiyo, imetupasa kuwa waangalifu sana kuhusu kile tulichosikia, ili tusije tukakiacha. Kwa kuwa kama ujumbe ulionenwa na malaika ulikuwa imara, na kila uasi na kutokutii kulipata adhabu ya haki
Shirikisha
Soma Waebrania 2Waebrania 2:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)
Kwa hiyo tunapaswa kuzingatia kwa makini yote tuliyosikia, tusije tukayakosa. Ujumbe ule waliopewa wazee wetu na malaika ulioneshwa kuwa kweli, hata mtu yeyote ambaye hakuufuata au hakuutii aliadhibiwa kama alivyostahili.
Shirikisha
Soma Waebrania 2