Waebrania 12:19
Waebrania 12:19 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
kwenye mlio wa tarumbeta, au kwenye sauti isemayo maneno ya kutisha kiasi ambacho wale walioisikia waliomba wasiambiwe neno jingine zaidi
Shirikisha
Soma Waebrania 12Waebrania 12:19 Biblia Habari Njema (BHN)
mvumo wa tarumbeta na sauti ya maneno. Wale waliosikia sauti hiyo waliomba wasisikie tena neno lingine
Shirikisha
Soma Waebrania 12