Waebrania 12:19 - Compare All Versions
Waebrania 12:19 BHN (Biblia Habari Njema)
mvumo wa tarumbeta na sauti ya maneno. Wale waliosikia sauti hiyo waliomba wasisikie tena neno lingine
Shirikisha
Waebrania 12 BHNWaebrania 12:19 SRUV (Swahili Revised Union Version)
na mlio wa baragumu na sauti ya maneno; ambayo wale walioisikia walisihi wasiambiwe neno lolote lingine
Shirikisha
Waebrania 12 SRUVWaebrania 12:19 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
na mlio wa baragumu na sauti ya maneno; ambayo wale walioisikia walisihi wasiambiwe neno lo lote lingine
Shirikisha
Waebrania 12 SUVWaebrania 12:19 NEN (Neno)
kwenye mlio wa tarumbeta, au kwenye sauti isemayo maneno ya kutisha kiasi ambacho wale walioisikia waliomba wasiambiwe neno jingine zaidi
Shirikisha
Waebrania 12 NEN