Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Habakuki 2:17 - Compare All Versions

Habakuki 2:17 BHN (Biblia Habari Njema)

Maovu uliyoitenda Lebanoni yatakuvamia wewe; uliwaua wanyama, wanyama nao watakutisha. Yote hayo yatakupata wewe, kwa mauaji na dhuluma uliyoitendea dunia, naam, uliyoifanyia miji na wakazi wake wote.

Shirikisha
Habakuki 2 BHN

Habakuki 2:17 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Kwa maana udhalimu uliotendwa juu ya Lebanoni utakufunikiza, na kuangamizwa kwao wanyama kutakutia hofu; kwa sababu ya damu ya watu, na kwa sababu ya udhalimu iliotendwa nchi hii, na mji huu, na watu wote wanaokaa ndani yake.

Shirikisha
Habakuki 2 SUV

Habakuki 2:17 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Kwa maana udhalimu uliotendwa juu ya Lebanoni utakufunikiza, na kuangamizwa kwao wanyama kutakutia hofu; kwa sababu ya damu ya watu, na kwa sababu ya udhalimu iliotendwa nchi hii, na mji huu, na watu wote wanaokaa ndani yake.

Shirikisha
Habakuki 2 SRUV

Habakuki 2:17 NEN (Neno)

Ukatili ulioifanyia Lebanoni utakufunika, na uharibifu uliowafanyia wanyama utakutisha. Kwa sababu umemwaga damu ya mtu; umeharibu nchi na miji na kila mmoja aliye ndani yake.

Shirikisha
Habakuki 2 NEN