Mwanzo 49:10
Mwanzo 49:10 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Fimbo ya enzi haitaondoka katika Yuda, Wala mfanya sheria kati ya miguu yake, Hata atakapokuja Yeye, mwenye milki, Ambaye mataifa watamtii.
Shirikisha
Soma Mwanzo 49Mwanzo 49:10 Biblia Habari Njema (BHN)
“Fimbo ya kifalme haitatoka kwa Yuda, wala bakora ya utawala miguuni pake, mpaka atakapofika yule ambaye ni yake; ambaye mataifa yatamtii.
Shirikisha
Soma Mwanzo 49Mwanzo 49:10 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Fimbo ya enzi haitaondoka katika Yuda, Wala mfanya sheria kati ya miguu yake, Hata atakapokuja Yeye, mwenye milki, Ambaye mataifa watamtii.
Shirikisha
Soma Mwanzo 49