Mwanzo 18:23 - Compare All Versions
Mwanzo 18:23 BHN (Biblia Habari Njema)
Basi, Abrahamu akamkaribia Mwenyezi-Mungu, akamwuliza, “Je, kweli utawaangamiza watu wema pamoja na waovu?
Shirikisha
Mwanzo 18 BHNMwanzo 18:23 SRUV (Swahili Revised Union Version)
Abrahamu akakaribia, akasema, Je! Utaharibu mwenye haki pamoja na mwovu?
Shirikisha
Mwanzo 18 SRUVMwanzo 18:23 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
Ibrahimu akakaribia, akasema, Je! Utaharibu mwenye haki pamoja na mwovu?
Shirikisha
Mwanzo 18 SUVMwanzo 18:23 NEN (Neno)
Abrahamu akamsogelea, akasema: “Je, utawaangamiza wenye haki na waovu?
Shirikisha
Mwanzo 18 NEN