Mwanzo 11:9
Mwanzo 11:9 Biblia Habari Njema (BHN)
Mji huo ukaitwa Babeli, kwa sababu huko ndiko Mwenyezi-Mungu alikoivuruga lugha ya dunia yote, na kutoka huko akawatawanya watu kila mahali duniani.
Shirikisha
Soma Mwanzo 11Mwanzo 11:9 Biblia Habari Njema (BHN)
Mji huo ukaitwa Babeli, kwa sababu huko ndiko Mwenyezi-Mungu alikoivuruga lugha ya dunia yote, na kutoka huko akawatawanya watu kila mahali duniani.
Shirikisha
Soma Mwanzo 11Mwanzo 11:9 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kwa sababu hiyo jina lake likaitwa Babeli; maana hapo ndipo BWANA alipoichafua lugha ya dunia yote; na kutoka huko BWANA akawatawanya waende usoni pa nchi yote.
Shirikisha
Soma Mwanzo 11