Mwanzo 1:14
Mwanzo 1:14 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Mungu akasema, “Iwepo mianga kwenye nafasi ya anga ili itenganishe usiku na mchana, nayo iwe alama ya kutambulisha majira mbalimbali, siku na miaka
Shirikisha
Soma Mwanzo 1Mwanzo 1:14 Biblia Habari Njema (BHN)
Mungu akasema, “Mianga na iweko angani, itenge mchana na usiku, ioneshe nyakati, majira, siku na miaka
Shirikisha
Soma Mwanzo 1