Wagalatia 4:4-5
Wagalatia 4:4-5 Biblia Habari Njema (BHN)
Lakini wakati ule maalumu ulipotimia, Mungu alimtuma Mwanae aliyezaliwa na mwanamke, akaishi chini ya sheria, apate kuwakomboa wale waliokuwa chini ya sheria ili sisi tufanywe wana wa Mungu.
Shirikisha
Soma Wagalatia 4Wagalatia 4:4-5 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Lakini ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwanawe ambaye amezaliwa na mwanamke, amezaliwa chini ya sheria, kusudi awakomboe hao waliokuwa chini ya sheria, ili sisi tupate kupokea hali ya kuwa wana.
Shirikisha
Soma Wagalatia 4Wagalatia 4:4-5 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Hata ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwanawe ambaye amezaliwa na mwanamke, amezaliwa chini ya sheria, kusudi awakomboe hao waliokuwa chini ya sheria, ili sisi tupate kupokea hali ya kuwa wana.
Shirikisha
Soma Wagalatia 4