Wagalatia 4:24
Wagalatia 4:24 Biblia Habari Njema (BHN)
Mambo hayo yamekuwa mfano; mama hao wawili ni mfano wa maagano mawili; la kwanza ni lile lililofanyika mlimani Sinai, mwakilishi wake ni Hagari, na watoto wake wanazaliwa utumwani.
Shirikisha
Soma Wagalatia 4Wagalatia 4:24 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Mambo haya husemwa kwa mfano; kwa maana hawa ndio kama maagano mawili, moja kutoka mlima Sinai, lizaalo kwa utumwa, ambalo ni Hajiri.
Shirikisha
Soma Wagalatia 4