Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Wagalatia 2:6 - Compare All Versions

Wagalatia 2:6 BHN (Biblia Habari Njema)

Lakini watu hawa wanaosemekana kuwa ni viongozi – kama kweli walikuwa hivyo au sivyo, kwangu si kitu, maana Mungu hahukumu kwa kuangalia mambo ya nje – watu hawa hawakuwa na mawazo ya kuniongezea.

Shirikisha
Wagalatia 2 BHN

Wagalatia 2:6 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Lakini wale viongozi waliosifika kuwa wana cheo; (walivyokuwa vyovyote ni mamoja kwangu; Mungu hapokei uso wa mwanadamu); nasema, hao waliosifika hawakuniongezea kitu

Wagalatia 2:6 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Lakini wale wenye sifa ya kuwa wana cheo; (walivyokuwa vyo vyote ni mamoja kwangu; Mungu hapokei uso wa mwanadamu); nasema, hao wenye sifa hawakuniongezea kitu

Shirikisha
Wagalatia 2 SUV

Wagalatia 2:6 NEN (Neno)

Kwa habari ya wale waliokuwa wakubaliwe kuwa viongozi (kwangu mimi sikujali vyeo vyao, maana Mungu hana upendeleo), wale watu hawakuniongezea chochote.

Shirikisha
Wagalatia 2 NEN