Wagalatia 1:9
Wagalatia 1:9 Biblia Habari Njema (BHN)
Tulikwisha sema, na sasa nasema tena: Kama mtu yeyote anawahubirieni injili ya aina nyingine, tofauti na ile mliyokwisha pokea, huyo na alaaniwe!
Shirikisha
Soma Wagalatia 1Wagalatia 1:9 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kama tulivyotangulia kusema, na sasa, nasema tena, mtu awaye yote akiwahubiria ninyi Injili yoyote isipokuwa hiyo mliyoipokea, na alaaniwe.
Shirikisha
Soma Wagalatia 1