Ezra 7:13
Ezra 7:13 Biblia Habari Njema (BHN)
“Ninaamuru kwamba katika utawala wangu, Mwisraeli yeyote, au kuhani wao, au Mlawi, akitaka kurudi Yerusalemu kwa hiari yake, anaweza kwenda pamoja nawe.
Shirikisha
Soma Ezra 7Ezra 7:13 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Natoa amri ya kwamba watu wote walio wa Israeli, na makuhani wao, na Walawi, katika ufalme wangu, wenye nia ya kwenda Yerusalemu kwa hiari yao wenyewe, waende pamoja nawe.
Shirikisha
Soma Ezra 7