Ezra 5:1
Ezra 5:1 Biblia Habari Njema (BHN)
Wakati huo, manabii wawili, Hagai na Zekaria, mwana wa Ido, waliwatolea unabii Wayahudi waliokuwa wanakaa Yuda na Yerusalemu, katika jina la Mungu wa Israeli.
Shirikisha
Soma Ezra 5Ezra 5:1 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi manabii, Hagai nabii, na Zekaria mwana wa Ido, wakawafanyia unabii Wayahudi waliokuwako Yerusalemu na Yuda; waliwafanyia unabii kwa jina la Mungu wa Israeli.
Shirikisha
Soma Ezra 5