Kutoka 18:1
Kutoka 18:1 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi Yethro, kuhani wa Midiani, mkwewe Musa, alisikia habari ya mambo hayo yote Mungu aliyokuwa amemtendea Musa, na Waisraeli watu wake, jinsi BWANA alivyowaleta Israeli watoke Misri.
Shirikisha
Soma Kutoka 18Kutoka 18:1 Biblia Habari Njema (BHN)
Yethro, kuhani wa Midiani, baba mkwe wa Mose, alisikia juu ya mambo yote ambayo Mwenyezi-Mungu alimtendea Mose na Waisraeli alipowatoa katika nchi ya Misri.
Shirikisha
Soma Kutoka 18Kutoka 18:1 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi Yethro, kuhani wa Midiani, mkwewe Musa, alisikia habari ya mambo hayo yote Mungu aliyokuwa amemtendea Musa, na Waisraeli watu wake, jinsi BWANA alivyowaleta Israeli watoke Misri.
Shirikisha
Soma Kutoka 18