Waefeso 4:7-8
Waefeso 4:7-8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Lakini kila mmoja wetu alipewa neema kwa kadiri ya kipimo cha kipawa chake Kristo. Hivyo husema, Alipopaa juu aliteka mateka, Akawapa wanadamu vipawa.
Shirikisha
Soma Waefeso 4Waefeso 4:7-8 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Lakini kila mmoja wetu amepewa neema kwa kadiri ya kipimo cha kipawa cha Kristo. Kwa hiyo husema: “Alipopaa juu zaidi, aliteka mateka, akawapa wanadamu vipawa.”
Shirikisha
Soma Waefeso 4