Waefeso 3:10
Waefeso 3:10 Biblia Habari Njema (BHN)
kusudi sasa, kwa njia ya kanisa, wakuu na wenye enzi wa mbinguni wapate kuitambua hekima ya Mungu iliyo ya namna nyingi.
Shirikisha
Soma Waefeso 3Waefeso 3:10 Swahili Revised Union Version (SRUV)
ili sasa, kwa njia ya kanisa, hekima ya Mungu iliyo ya namna nyingi ijulikane na falme na mamlaka katika ulimwengu wa roho
Shirikisha
Soma Waefeso 3