Mhubiri 8:14
Mhubiri 8:14 Neno: Bibilia Takatifu (NEN)
Kuna kitu kingine ambacho ni ubatili kinachotokea duniani: Watu waadilifu kupata yale yanayowastahili waovu, nao waovu kupata yale yanayowastahili waadilifu. Hili nalo pia, nasema ni ubatili.
Shirikisha
Soma Mhubiri 8Mhubiri 8:14 Biblia Habari Njema (BHN)
Kuna jambo moja, bure kabisa nililoligundua hapa duniani: Watu wema hutendewa wastahilivyo waovu, nao waovu hutendewa wastahilivyo watu wema. Hili nalo nasema ni bure kabisa.
Shirikisha
Soma Mhubiri 8