Mhubiri 5:18
Mhubiri 5:18 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, haya ndiyo niliyogundua: Jambo zuri na la kufaa kwa binadamu ni kula, kunywa na kufurahia matunda ya jasho analotoa katika kazi anayoifanya hapa duniani, siku hizo chache za maisha aliyojaliwa na Mungu, maana hivyo ndivyo alivyopangiwa.
Shirikisha
Soma Mhubiri 5Mhubiri 5:18 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Tazama, mimi niliyoyaona kuwa ndiyo mema na ya kufaa, ni mtu kula na kunywa, na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote anayoifanya chini ya jua, siku zote za maisha yake alizopewa na Mungu; maana hilo ndilo fungu lake.
Shirikisha
Soma Mhubiri 5Mhubiri 5:18 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Tazama, mimi niliyoyaona kuwa ndiyo mema na ya kufaa, ni mtu kula na kunywa, na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote anayoifanya chini ya jua, siku zote za maisha yake alizopewa na Mungu; maana hilo ndilo fungu lake.
Shirikisha
Soma Mhubiri 5