Mhubiri 3:7-8
Mhubiri 3:7-8 Biblia Habari Njema (BHN)
wakati wa kurarua na wakati wa kushona; wakati wa kukaa kimya na wakati wa kuongea; wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia; wakati wa vita na wakati wa amani.
Shirikisha
Soma Mhubiri 3Mhubiri 3:7-8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Wakati wa kurarua, na wakati wa kushona; Wakati wa kunyamaza, na wakati wa kunena; Wakati wa kupenda, na wakati wa kuchukia; Wakati wa vita, na wakati wa amani.
Shirikisha
Soma Mhubiri 3