Mhubiri 3:3-4
Mhubiri 3:3-4 Biblia Habari Njema (BHN)
wakati wa kuua na wakati wa kuponya; wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga; wakati wa kulia na wakati wa kucheka; wakati wa kuomboleza na wakati wa kucheza
Shirikisha
Soma Mhubiri 3Mhubiri 3:3-4 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Wakati wa kuua, na wakati wa kuponya; Wakati wa kubomoa, na wakati wa kujenga; Wakati wa kulia, na wakati wa kucheka; Wakati wa kuomboleza, na wakati wa kucheza
Shirikisha
Soma Mhubiri 3