Mhubiri 3:2-3
Mhubiri 3:2-3 Neno: Bibilia Takatifu 2025 (NENO)
wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa, wakati wa kupanda na wakati wa kungʼoa yaliyopandwa, wakati wa kuua na wakati wa kuponya, wakati wa kubomoa, na wakati wa kujenga
Shirikisha
Soma Mhubiri 3Mhubiri 3:2-3 Biblia Habari Njema (BHN)
Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa; wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna kilichopandwa; wakati wa kuua na wakati wa kuponya; wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga
Shirikisha
Soma Mhubiri 3Mhubiri 3:2-3 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Wakati wa kuzaliwa, na wakati wa kufa; Wakati wa kupanda, na wakati wa kung'oa kilichopandwa; Wakati wa kuua, na wakati wa kuponya; Wakati wa kubomoa, na wakati wa kujenga
Shirikisha
Soma Mhubiri 3