Mhubiri 3:16
Mhubiri 3:16 Biblia Habari Njema (BHN)
Zaidi ya hayo, nimegundua duniani kwamba, mahali pa haki na uadilifu, uovu unatawala.
Shirikisha
Soma Mhubiri 3Mhubiri 3:16 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Zaidi ya hayo, nikaona tena chini ya jua ya kwamba, Mahali pa hukumu upo uovu, Na mahali pa haki upo udhalimu.
Shirikisha
Soma Mhubiri 3