Mhubiri 3:13
Mhubiri 3:13 Biblia Habari Njema (BHN)
Sote inatupasa kula na kunywa na kufurahia matunda ya kazi zetu. Hayo ni majaliwa ya Mungu.
Shirikisha
Soma Mhubiri 3Mhubiri 3:13 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Tena ni karama ya Mungu kila mtu apate kula na kunywa, na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote.
Shirikisha
Soma Mhubiri 3