Mhubiri 3:11
Mhubiri 3:11 Biblia Habari Njema (BHN)
Mungu amekifanya kila kitu kiwe kizuri kwa wakati wake. Amempa binadamu hamu ya kujua mambo ya baadaye, lakini hajamjalia fursa ya kuelewa matendo yake Mungu tangu mwanzo mpaka mwisho.
Shirikisha
Soma Mhubiri 3Mhubiri 3:11 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Kila kitu amekifanya kizuri kwa wakati wake; tena ameiweka hiyo milele ndani ya mioyo yao; ila kwa jinsi mwanadamu asivyoweza kuivumbua kazi ya Mungu anayoifanya, tangu mwanzo hata mwisho.
Shirikisha
Soma Mhubiri 3Mhubiri 3:11 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Kila kitu amekifanya kizuri kwa wakati wake; tena ameiweka hiyo milele ndani ya mioyo yao; ila kwa jinsi mwanadamu asivyoweza kuivumbua kazi ya Mungu anayoifanya, tangu mwanzo hata mwisho.
Shirikisha
Soma Mhubiri 3