Mhubiri 12:3
Mhubiri 12:3 Neno: Bibilia Takatifu 2025 (NENO)
siku ile walinzi wa nyumba watakapotetemeka, nao watu wenye nguvu watakapojiinamisha, wakati wasagao watakapokoma kwa sababu ya uchache, nao wachunguliao madirishani kutiwa giza
Shirikisha
Soma Mhubiri 12Mhubiri 12:3 Biblia Habari Njema (BHN)
Wakati ambapo mikono inayokulinda inatetemeka, miguu yako imara imepindika, meno yako ya kusagia hayafai kwa uchache, na macho ya kuchungulia dirishani yamefifia.
Shirikisha
Soma Mhubiri 12Mhubiri 12:3 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Siku ile walinzi wa nyumba watakapotetemeka; Hapo wenye nguvu watakapojiinamisha; Na wasagao kukoma kwa kuwa ni haba; Na hao wachunguliao madirishani kutiwa giza
Shirikisha
Soma Mhubiri 12