Mhubiri 11:8
Mhubiri 11:8 Biblia Habari Njema (BHN)
Mtu akiishi miaka mingi, na aifurahie miaka hiyo yote; lakini akumbuke kuwa siku za giza zitakuwa nyingi, na kwamba yote yatakayofuata ni bure.
Shirikisha
Soma Mhubiri 11Mhubiri 11:8 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Naam, mtu akiishi miaka mingi, na aifurahie yote; lakini na azikumbuke siku zijazo za giza, kwa maana zitakuwa nyingi. Mambo yote yajayo ni ubatili.
Shirikisha
Soma Mhubiri 11