Mhubiri 1:18
Mhubiri 1:18 Biblia Habari Njema (BHN)
Maana katika kuwa na hekima nyingi mna wasiwasi; na aongezaye maarifa zaidi huongeza huzuni zaidi.
Shirikisha
Soma Mhubiri 1Mhubiri 1:18 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Yaani, Katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni; Naye aongezaye maarifa huongeza masikitiko.
Shirikisha
Soma Mhubiri 1