Mhubiri 1:17
Mhubiri 1:17 Biblia Habari Njema (BHN)
Nilipania kubainisha kati ya hekima, wazimu na upumbavu. Lakini niligundua kwamba kufanya hivyo ni sawa na kufukuza upepo.
Shirikisha
Soma Mhubiri 1Mhubiri 1:17 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nikatia moyo wangu ili kuijua hekima, na kujua wazimu na upumbavu; nikatambua ya kwamba hayo yote nayo ni kufukuza upepo.
Shirikisha
Soma Mhubiri 1