Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Danieli 8:1 - Compare All Versions

Danieli 8:1 BHN (Biblia Habari Njema)

“Mnamo mwaka wa tatu wa utawala wa mfalme Belshaza, maono mengine yalinijia mimi Danieli, licha ya maono yale ya kwanza.

Shirikisha
Danieli 8 BHN

Danieli 8:1 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Katika mwaka wa tatu wa kumiliki kwake mfalme Belshaza maono yalinitokea mimi, naam, mimi Danieli, baada ya hayo yaliyonitokea hapo kwanza.

Shirikisha
Danieli 8 SUV

Danieli 8:1 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Katika mwaka wa tatu wa kutawala kwake mfalme Belshaza maono yalinitokea mimi, naam, mimi Danieli, baada ya hayo yaliyonitokea hapo kwanza.

Shirikisha
Danieli 8 SRUV

Danieli 8:1 NEN (Neno)

Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Mfalme Belshaza, mimi Danieli nilipata maono, baada ya maono yaliyokuwa yamenitokea awali.

Shirikisha
Danieli 8 NEN