Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Danieli 12:10 - Compare All Versions

Danieli 12:10 BHN (Biblia Habari Njema)

Watu wengi wataondolewa uchafu, watatakaswa na kusafishwa. Lakini watu waovu wataendelea kutenda uovu. Hakuna hata mmoja wa hao waovu atakayeelewa; wenye hekima ndio watakaoelewa.

Shirikisha
Danieli 12 BHN

Danieli 12:10 SRUV (Swahili Revised Union Version)

Wengi watajitakasa, na kujifanya weupe, na kusafika; bali wabaya watatenda mabaya; wala hataelewa mtu mbaya awaye yote; bali wao walio na hekima ndio watakaoelewa.

Shirikisha
Danieli 12 SRUV

Danieli 12:10 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)

Wengi watajitakasa, na kujifanya weupe, na kusafika; bali wabaya watatenda mabaya; wala hataelewa mtu mbaya awaye yote; bali wao walio na hekima ndio watakaoelewa.

Shirikisha
Danieli 12 SUV

Danieli 12:10 NEN (Neno)

Wengi watatakaswa, na kuondolewa mawaa na kufanywa safi, lakini waovu wataendelea kuwa waovu. Hakuna mmoja wa waovu atakayefahamu, lakini wale wenye hekima watafahamu.

Shirikisha
Danieli 12 NEN