Danieli 10:2-3
Danieli 10:2-3 Biblia Habari Njema (BHN)
“Wakati huo, mimi Danieli, nilikuwa nikiomboleza kwa muda wa majuma matatu. Sikula chakula cha fahari, sikugusa nyama wala divai, na sikujipaka mafuta kwa muda wa majuma hayo yote matatu.
Shirikisha
Soma Danieli 10Danieli 10:2-3 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Katika siku zile mimi, Danieli, nilikuwa nikiomboleza muda wa majuma matatu kamili. Sikula chakula kitamu, wala nyama wala divai haikuingia kinywani mwangu, wala sikujipaka mafuta kabisa, hata majuma matatu kamili yalipotimia.
Shirikisha
Soma Danieli 10Danieli 10:2-3 Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia (SUV)
Katika siku zile mimi, Danieli, nalikuwa nikiomboleza muda wa majuma matatu kamili. Sikula chakula kitamu, wala nyama wala divai haikuingia kinywani mwangu, wala sikujipaka mafuta kabisa, hata majuma matatu kamili yalipotimia.
Shirikisha
Soma Danieli 10